KATIBU MKUU WA CCM CHONGOLO ALIVYOISIMAMISHA DAR

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, akizungumza na umati wa wananchi wakati wa mkutano wa hadhara, katika viwanja vya Tanganyika Pakers, Dar es Salaam.


Wananchi wakifurahia mkutano huo.

Umati wa Wananchi wakimshangilia Chongolo wakati wa mkutano huo.





Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, wakifuatilia mkutano huo.