BODI YA DUWASA YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA MAJI NZUGUNI



Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Balozi Job Masima (wa tatu kulia) akisikiliza maelezo ya ramani kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa DUWASA, Mhandisi Aron Joseph, wakati bodi na menejimenti ya mamlaka hiyo ilipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa maji Nzuguni jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Balozi Job Masima (kulia) akiwa na wajumbe wa bodi na menejimenti ya Mamlaka hiyo wakisikiliza maelezo kutoka kwa Mkandarasi Noel Lukuwi kutoka Kampuni ya Kandarasi ya Help Desk, wakati wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa maji Nzuguni jijini Dodoma.


Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Balozi Job Masima (wanne kushoto) akiwa na wajumbe wa bodi na menejimenti ya mamlaka hiyo wakikagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maji Nzuguni jijini Dodoma jana.