Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, ametoa sadaka ya Eid kwa watu wenye mahitaji maalumu wakiwemo wenye ulemavu, Wazee wasiojiweza, Yatima , Wajane na Waalimu wa madrasa, Aprili 21, 2023 katika Msikiti wa Jamiu Zinjibari Mazizini, Mkoa wa Mjini Magharibi.