BALOZI DK. NCHIMBI AMEANZA ZIARA YA KUKAGUA UEKELEZAJI ILANI YA CCM MKOANI SINGIDA
MANYONI - SINGIDA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amepokelewa na mwenyeji wake Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Singida, Martha Mlata.
Balozi Dk. Nchimbi ameanza ziara hiyo, leo Mei 29 kwa lengo la kuendelea kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho ya mwaka 2020 hadi 2025 ambapo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ameleta miradi mbalimbali ya maendeleo kwa lengo la kuendelea kuwahudumia wananchi.
Aidha, ameambatana na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
Ziara hiyo, imeanza leo Mei 29 na inatarajiwa kukamilika ifikapo Mei 30, 2024.
BALOZI DK. NCHIMBI AMEANZA ZIARA YA KUKAGUA UEKELEZAJI ILANI YA CCM MKOANI SINGIDA
Reviewed by Gude Media
on
May 29, 2024
Rating:
Reviewed by Gude Media
on
May 29, 2024
Rating:


