Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalumu kutoka kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Abiy Ahmed, uliowasilishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Shirikisho la Ethiopia Mhe. Demeke Mekonnen, aliyeambatana na ujumbe wake, Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar. |