RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SERIKALI KUTOKA BENKI YA NMB

 Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, apokea Gawio la Serikali Shilingi Bilioni 45.5 kutoka Benki ya NMB katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Mafanikio ya Benki hiyo Mlimani City, jijini Dar es Salaam.