Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya tukio la utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Tabora kwenda Kigoma (km 506) kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022 |