Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa (wa pili kulia), akizingumza na Wenyeviti wa CCM Mkoa, katika kituo cha treni cha Reli ya Kisasa (SGR), mkoani Morogoro, wakati wakikagua mradi huo kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma. Kutoka kushoto ni Adam Kimbisa (Dodoma), Abbasi Mtemvu (Dar es Salaam) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma. (Picha na Muhidin Sufiani) |